19 Ndipo Mikaya akasema: “Basi, sikia neno la Yehova: Nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni likiwa limesimama kando yake, upande wake wa kulia na upande wake wa kushoto.+
13 Ghafla wakaona umati wa jeshi la mbinguni ukiwa pamoja na yule malaika,+ wakimsifu Mungu wakisema: 14 “Utukufu kwa Mungu katika vilele vilivyo juu, na amani duniani kwa watu wenye nia njema.”*