- 
	                        
            
            Ayubu 38:8-10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        8 Na ni nani aliyeizuia bahari nyuma ya milango+ Ilipotoka kwa nguvu katika tumbo la uzazi, 9 Nilipoivalisha mawingu Na kuifunika kwa* giza zito, 10 Nilipoiwekea mpaka wangu Na kuweka makomeo yake na milango yake mahali pake,+ - 
	                        
            
            Methali 8:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        29 Alipoiwekea bahari sheria Kwamba maji yake yasipite agizo lake,+ Alipoiweka* misingi ya dunia, 
 
- 
                                        
 
- 
	                        
            
            
 
-