Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 38:8-10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Na ni nani aliyeizuia bahari nyuma ya milango+

      Ilipotoka kwa nguvu katika tumbo la uzazi,

       9 Nilipoivalisha mawingu

      Na kuifunika kwa* giza zito,

      10 Nilipoiwekea mpaka wangu

      Na kuweka makomeo yake na milango yake mahali pake,+

  • Zaburi 33:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Huyakusanya maji ya bahari kana kwamba ni bwawa;+

      Huyaweka mawimbi makubwa ya maji katika maghala.

  • Methali 8:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Alipoiwekea bahari sheria

      Kwamba maji yake yasipite agizo lake,+

      Alipoiweka* misingi ya dunia,

  • Yeremia 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 ‘Je, hamniogopi mimi?’ asema Yehova,

      ‘Je, hampaswi kutetemeka mbele zangu?

      Mimi ndiye niliyeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari,

      Sheria inayodumu isiyoweza kukiukwa na bahari.

      Ingawa mawimbi yake yanasukasuka, hayawezi kushinda;

      Ingawa yananguruma, bado hayawezi kuvuka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki