Zaburi 136:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Huwapa chakula viumbe wote walio hai,*+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele. Zaburi 145:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho yote yanakutazama yakiwa na tumaini;Unawapa chakula chao katika majira yake.+ Zaburi 147:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anawapa wanyama chakula,+Kunguru wachanga wanaokililia.+ Mathayo 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Waangalieni kwa makini ndege wa angani;+ hawapandi mbegu, hawavuni, wala kukusanya ghalani, na bado Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wenye thamani kuliko wao?
26 Waangalieni kwa makini ndege wa angani;+ hawapandi mbegu, hawavuni, wala kukusanya ghalani, na bado Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wenye thamani kuliko wao?