Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 136:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Huwapa chakula viumbe wote walio hai,*+

      Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

  • Zaburi 145:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho yote yanakutazama yakiwa na tumaini;

      Unawapa chakula chao katika majira yake.+

  • Zaburi 147:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Anawapa wanyama chakula,+

      Kunguru wachanga wanaokililia.+

  • Mathayo 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Waangalieni kwa makini ndege wa angani;+ hawapandi mbegu, hawavuni, wala kukusanya ghalani, na bado Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wenye thamani kuliko wao?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki