Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:14-18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yeye ni Yehova Mungu wetu.+

      Hukumu zake ziko duniani kote.+

      15 Kumbukeni agano lake milele,

      Ahadi aliyotoa,* hata kufikia vizazi elfu,+

      16 Agano alilofanya na Abrahamu,+

      Na kiapo alichomwapia Isaka,+

      17 Alichotoa kama amri kwa Yakobo+

      Na kama agano la kudumu kwa Israeli,

      18 Akisema, ‘Nitakupa nchi ya Kanaani+

      Kuwa urithi wako uliogawiwa.’+

  • Isaya 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Usiku ninakutamani sana kwa nafsi yangu yote,

      Naam, roho yangu inaendelea kukutafuta;+

      Kwa maana hukumu zinapotoka kwako kwa ajili ya dunia,

      Wakaaji wa nchi hujifunza kuhusu uadilifu.+

  • Ufunuo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki