15 Kumbukeni agano lake milele,
Ahadi aliyotoa, hata kufikia vizazi elfu,+
16 Agano alilofanya na Abrahamu,+
Na kiapo alichomwapia Isaka,+
17 Alichotoa kama amri kwa Yakobo+
Na kama agano la kudumu kwa Israeli,
18 Akisema, ‘Nitakupa nchi ya Kanaani+
Kuwa urithi wako uliogawiwa.’+