Zaburi 15:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako? Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+ 2 Yule anayetembea bila kosa,*+Anayezoea kutenda yaliyo sawa+Na kusema ukweli moyoni mwake.+ Isaya 64:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umekutana na wale wanaoshangilia kutenda mambo yanayofaa,+Wale wanaokukumbuka na kufuata njia zako. Tazama! Ulikuwa na ghadhabu, huku sisi tukiendelea kutenda dhambi,+Tulifanya hivyo kwa muda mrefu. Je, sasa tuokolewe?
15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako? Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+ 2 Yule anayetembea bila kosa,*+Anayezoea kutenda yaliyo sawa+Na kusema ukweli moyoni mwake.+
5 Umekutana na wale wanaoshangilia kutenda mambo yanayofaa,+Wale wanaokukumbuka na kufuata njia zako. Tazama! Ulikuwa na ghadhabu, huku sisi tukiendelea kutenda dhambi,+Tulifanya hivyo kwa muda mrefu. Je, sasa tuokolewe?