Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa Eliya*+ Mtishbi, mkaaji wa Gileadi,+ alimwambia hivi Ahabu: “Kwa hakika kama anavyoishi Yehova Mungu wa Israeli ninayemtumikia,* katika miaka hii hakutakuwa na umande wala mvua isipokuwa kwa neno langu!”+

  • 1 Wafalme 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini baada ya siku kadhaa, kijito hicho kikakauka+ kwa sababu mvua haikunyesha nchini.

  • Isaya 42:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nitaiharibu milima na vilima

      Na kukausha kabisa majani yake yote.

      Nitaibadili mito iwe visiwa*

      Na kuyakausha kabisa madimbwi ya maji yenye matete.+

  • Amosi 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 ‘Pia niliwanyima mvua miezi mitatu kabla ya mavuno;+

      Nilileta mvua katika jiji moja lakini sikuileta katika jiji lingine.

      Shamba moja lilipata mvua,

      Lakini shamba lingine lilikauka kwa sababu halikupata mvua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki