Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 1:16-20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe, ambalo roho takatifu ilisema kinabii kupitia Daudi kumhusu Yuda,+ aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.+ 17 Kwa maana alihesabiwa miongoni mwetu+ naye alipata fungu katika huduma hii. 18 (Mtu huyo alinunua shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu,+ akaanguka kichwa kwanza, mwili wake ukapasuka* na matumbo yake yote yakamwagika.+ 19 Wakaaji wote wa Yerusalemu wakajua jambo hilo, hivi kwamba shamba hilo likaitwa kwa lugha yao Akeldama, yaani, “Shamba la Damu.”) 20 Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, ‘Makao yake yabaki ukiwa, na pasiwe na mkaaji yeyote humo,’+ na, ‘Mtu mwingine na achukue cheo chake cha uangalizi.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki