Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3:28, 29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Daudi aliposikia habari hizo baadaye, alisema: “Mimi na ufalme wangu hatuna hatia milele mbele za Yehova kwa sababu ya damu+ ya Abneri mwana wa Neri. 29 Na irudi juu ya kichwa cha Yoabu+ na juu ya nyumba yote ya baba yake. Nyumba ya Yoabu isikose kamwe mwanamume anayetokwa na umajimaji+ au mtu mwenye ukoma+ au mwanamume anayetumikia kwenye gurudumu la mfumaji* au anayeuawa kwa upanga au asiye na chakula!”+

  • 2 Samweli 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi katika siku za Daudi kulikuwa na njaa kali+ kwa miaka mitatu mfululizo, kwa hiyo Daudi akamwomba Yehova ushauri, kisha Yehova akasema: “Sauli na nyumba yake wana hatia ya damu, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki