-
2 Samweli 3:28, 29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Daudi aliposikia habari hizo baadaye, alisema: “Mimi na ufalme wangu hatuna hatia milele mbele za Yehova kwa sababu ya damu+ ya Abneri mwana wa Neri. 29 Na irudi juu ya kichwa cha Yoabu+ na juu ya nyumba yote ya baba yake. Nyumba ya Yoabu isikose kamwe mwanamume anayetokwa na umajimaji+ au mtu mwenye ukoma+ au mwanamume anayetumikia kwenye gurudumu la mfumaji* au anayeuawa kwa upanga au asiye na chakula!”+
-