Zaburi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+ Zaburi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega. Zaburi 119:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Sheria uliyotangaza ni njema kwangu,+Kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha.+
8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+
10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega.