Kumbukumbu la Torati 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Acha wamfundishe Yakobo amri zako*+Na Waisraeli Sheria yako.+ Acha wakufukizie uvumba wenye harufu inayokupendeza*+Na dhabihu nzima ya kuteketezwa kwenye madhabahu yako.+ Isaya 48:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Mimi, Yehova, ni Mungu wako,Ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,*+Ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.+
10 Acha wamfundishe Yakobo amri zako*+Na Waisraeli Sheria yako.+ Acha wakufukizie uvumba wenye harufu inayokupendeza*+Na dhabihu nzima ya kuteketezwa kwenye madhabahu yako.+
17 Yehova, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Mimi, Yehova, ni Mungu wako,Ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,*+Ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.+