Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Daudi alifadhaika sana, kwa sababu wanaume wake walitaka kumpiga mawe, kwa maana wanaume wote walikuwa na uchungu mwingi sana kwa kuwapoteza wana na mabinti wao. Lakini Daudi akajitia nguvu kwa msaada wa Yehova Mungu wake.+

  • Zaburi 62:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Kwa kweli, ninamngojea Mungu kimyakimya.

      Wokovu wangu unatoka kwake.+

  • Isaya 30:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, Mtakatifu wa Israeli, anasema hivi:

      “Mkirudi kwangu na kupumzika, mtaokolewa;

      Mtakuwa na nguvu mkiendelea kuwa watulivu na kuwa na tumaini.”+

      Lakini hamkutaka.+

  • Maombolezo 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ni jambo jema kuungojea kimyakimya*+ wokovu wa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki