1 Wafalme 8:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Makuhani walipotoka mahali patakatifu, wingu+ lilijaa katika nyumba ya Yehova.+ 11 Makuhani hawakuweza kusimama ili kuhudumu kwa sababu ya wingu hilo, kwa maana utukufu wa Yehova ulijaa katika nyumba ya Yehova.+
10 Makuhani walipotoka mahali patakatifu, wingu+ lilijaa katika nyumba ya Yehova.+ 11 Makuhani hawakuweza kusimama ili kuhudumu kwa sababu ya wingu hilo, kwa maana utukufu wa Yehova ulijaa katika nyumba ya Yehova.+