Kutoka 40:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ndipo wingu likaanza kufunika hema la mkutano, na utukufu wa Yehova ukajaa katika hema la ibada.+ Mambo ya Walawi 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+
2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+