Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi Daudi akaondoka huko+ na kukimbilia katika pango la Adulamu.+ Ndugu zake na nyumba yote ya baba yake waliposikia habari hiyo, wakashuka na kumfuata huko.

  • 1 Samweli 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sauli akafika kwenye mazizi ya kondoo yaliyojengwa kwa mawe kando ya barabara, mahali ambapo palikuwa na pango, akaingia pangoni kwenda haja,* wakati huo Daudi na wanaume wake walikuwa wameketi ndani kabisa ya pango hilo.+

  • Waebrania 11:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nami nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati nikiendelea kusimulia kuhusu Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yeftha,+ Daudi,+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine.

  • Waebrania 11:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 na ulimwengu haukuwafaa. Walitembea huku na huku katika majangwa na milima na mapango+ na mashimo ya dunia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki