47 Yehova yuko hai! Mwamba wangu na asifiwe!+
Mungu wa mwamba wa wokovu wangu na akwezwe.+
48 Mungu wa kweli hunilipizia kisasi;+
Huyatiisha mataifa chini yangu;+
49 Yeye huniokoa kutoka kwa maadui wangu.
Unaniinua juu+ ya wale wanaonishambulia;
Unaniokoa kutoka kwa mtu mkatili.+