Isaya 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi wetu,+Yehova ni Mpaji-sheria wetu,+Yehova ni Mfalme wetu;+Yeye Ndiye atakayetuokoa.+ Ufunuo 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 wakisema: “Tunakushukuru wewe, Yehova* Mungu, Mweza-Yote, yule aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+
22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi wetu,+Yehova ni Mpaji-sheria wetu,+Yehova ni Mfalme wetu;+Yeye Ndiye atakayetuokoa.+
17 wakisema: “Tunakushukuru wewe, Yehova* Mungu, Mweza-Yote, yule aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+