Zaburi 100:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+ Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+ Isaya 54:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa maana Muumba*+ wako Mkuu ni kama mume* wako,+Yehova wa majeshi ndilo jina lake,Na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Ataitwa Mungu wa dunia yote.+
3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+ Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+
5 “Kwa maana Muumba*+ wako Mkuu ni kama mume* wako,+Yehova wa majeshi ndilo jina lake,Na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Ataitwa Mungu wa dunia yote.+