Zaburi 37:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtumaini Yehova na utende mema;+Kaa duniani,* na utende kwa uaminifu.+ Zaburi 62:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mtumainini nyakati zote, enyi watu. Mwageni mioyo yenu mbele zake.+ Mungu ni kimbilio letu.+ (Sela) Methali 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtumaini Yehova+ kwa moyo wako wote,Wala usitegemee* uelewaji wako mwenyewe.+ 1 Petro 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hivyo basi, acheni wale wanaoteseka kwa kufanya mapenzi ya Mungu waendelee kujikabidhi wenyewe* kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+
8 Mtumainini nyakati zote, enyi watu. Mwageni mioyo yenu mbele zake.+ Mungu ni kimbilio letu.+ (Sela)
19 Hivyo basi, acheni wale wanaoteseka kwa kufanya mapenzi ya Mungu waendelee kujikabidhi wenyewe* kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+