Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 128:1-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 128 Mwenye furaha ni kila mtu anayemwogopa Yehova,+

      Anayetembea katika njia Zake.+

       2 Utakula mazao ambayo mkono wako ulifanya kazi ngumu kuyapata.

      Utakuwa na furaha na kufurahia ufanisi.+

       3 Mke wako atakuwa kama mzabibu unaozaa matunda mengi nyumbani mwako;+

      Watoto wako watakuwa kama machipukizi ya mzeituni kuzunguka meza yako.

       4 Tazama! Hivyo ndivyo mwanamume anayemwogopa Yehova

      Atakavyobarikiwa.+

       5 Yehova atakubariki kutoka Sayuni.

      Na uone Yerusalemu likipata ufanisi sikuzote za maisha yako+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki