Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta+ na kumtia mafuta mbele ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kumtia nguvu Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akainuka na kwenda zake Rama.+

  • 2 Samweli 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,

      Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+

      Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili.

  • Zaburi 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Sasa ninajua kwamba Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+

      Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifu

      Kwa wokovu* mkubwa kupitia mkono wake wa kuume.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki