1 Samweli 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta+ na kumtia mafuta mbele ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kumtia nguvu Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akainuka na kwenda zake Rama.+ 2 Samweli 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili. Zaburi 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa ninajua kwamba Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+ Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifuKwa wokovu* mkubwa kupitia mkono wake wa kuume.+
13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta+ na kumtia mafuta mbele ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kumtia nguvu Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akainuka na kwenda zake Rama.+
3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili.
6 Sasa ninajua kwamba Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+ Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifuKwa wokovu* mkubwa kupitia mkono wake wa kuume.+