Nehemia 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mara tu maadui wetu wote waliposikia habari hiyo na mataifa yote jirani yalipoona jambo hilo, wakaaibika sana,+ nao wakatambua kwamba kazi hii ilikuwa imefanywa kwa msaada wa Mungu wetu. Isaya 41:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tazama! Wale wote wanaowaka hasira dhidi yako wataaibishwa na kufedheheshwa.+ Wale wanaopigana nawe watafanywa kuwa si kitu na wataangamia.+ Yeremia 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa. Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+
16 Mara tu maadui wetu wote waliposikia habari hiyo na mataifa yote jirani yalipoona jambo hilo, wakaaibika sana,+ nao wakatambua kwamba kazi hii ilikuwa imefanywa kwa msaada wa Mungu wetu.
11 Tazama! Wale wote wanaowaka hasira dhidi yako wataaibishwa na kufedheheshwa.+ Wale wanaopigana nawe watafanywa kuwa si kitu na wataangamia.+
11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa. Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+