Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nitamlilia Yehova kwa sauti kubwa,

      Naye atanijibu kutoka kwenye mlima wake mtakatifu.+ (Sela)

  • Zaburi 145:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+

      Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.*+

      ר [Resh]

      19 Hutosheleza tamaa ya wale wanaomwogopa;+

      Husikia kilio chao cha kuomba msaada, naye huwaokoa.+

  • Waebrania 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki