Zaburi 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nitamlilia Yehova kwa sauti kubwa,Naye atanijibu kutoka kwenye mlima wake mtakatifu.+ (Sela) Zaburi 145:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.*+ ר [Resh] 19 Hutosheleza tamaa ya wale wanaomwogopa;+Husikia kilio chao cha kuomba msaada, naye huwaokoa.+ Waebrania 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.
18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.*+ ר [Resh] 19 Hutosheleza tamaa ya wale wanaomwogopa;+Husikia kilio chao cha kuomba msaada, naye huwaokoa.+
7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.