Kumbukumbu la Torati 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana sikuzote kutakuwa na maskini nchini.+ Ndiyo sababu ninawaamuru hivi: ‘Mnapaswa kumfumbulia mkono wenu kwa ukarimu ndugu yenu anayeteseka na maskini katika nchi yenu.’+ Ayubu 31:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ikiwa nilikataa kuwapa maskini walichotamani+Au ikiwa niliyahuzunisha macho ya mjane;*+ Ayubu 31:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi acha mkono* wangu ung’oke kutoka begani mwangu,Na acha mkono wangu uvunjwe kwenye kiwiko* chake. Zaburi 112:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amegawa kwa wingi;* amewapa maskini.+ צ [Tsade] Uadilifu wake unadumu milele.+ ק [Qoph] Nguvu zake mwenyewe zitakwezwa* kwa utukufu. Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+
11 Kwa maana sikuzote kutakuwa na maskini nchini.+ Ndiyo sababu ninawaamuru hivi: ‘Mnapaswa kumfumbulia mkono wenu kwa ukarimu ndugu yenu anayeteseka na maskini katika nchi yenu.’+
22 Basi acha mkono* wangu ung’oke kutoka begani mwangu,Na acha mkono wangu uvunjwe kwenye kiwiko* chake.
9 Amegawa kwa wingi;* amewapa maskini.+ צ [Tsade] Uadilifu wake unadumu milele.+ ק [Qoph] Nguvu zake mwenyewe zitakwezwa* kwa utukufu.