21 Saa ileile akawa na shangwe kubwa kupitia roho takatifu na kusema: “Ninakusifu hadharani, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha kwa uangalifu mambo haya wenye hekima na wenye akili+ nawe umeyafunua kwa watoto wadogo. Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu umekubali iwe hivyo.+