Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 49:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Wale wanaotumaini mali zao+

      Na kujigamba kuhusu utajiri wao mwingi,+

       7 Hakuna yeyote kati yao anayeweza kamwe kumkomboa ndugu yake

      Wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake,+

  • Methali 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+

      Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+

  • Yeremia 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova anasema hivi:

      “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake;+

      Mtu mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake;

      Na tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+

  • Luka 12:19-21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 kisha nitajiambia:* “Una* vitu vingi vizuri ulivyokusanya kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na ujifurahishe.”’ 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe mpumbavu, usiku huu wanautaka uhai wako.* Basi, vitu ulivyohifadhi vitakuwa vya nani?’+ 21 Hivyo ndivyo huwa kwa mtu anayejiwekea hazina lakini si tajiri kwa Mungu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki