-
Zaburi 49:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Na kujigamba kuhusu utajiri wao mwingi,+
7 Hakuna yeyote kati yao anayeweza kamwe kumkomboa ndugu yake
Wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake,+
-
Yeremia 9:23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 Yehova anasema hivi:
-
-
Luka 12:19-21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 kisha nitajiambia:* “Una* vitu vingi vizuri ulivyokusanya kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na ujifurahishe.”’ 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe mpumbavu, usiku huu wanautaka uhai wako.* Basi, vitu ulivyohifadhi vitakuwa vya nani?’+ 21 Hivyo ndivyo huwa kwa mtu anayejiwekea hazina lakini si tajiri kwa Mungu.”+
-
-
-