Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 6:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ewe mvivu, utaendelea kulala hapo mpaka lini?

      Utaamka lini kutoka katika usingizi wako?

      10 Lala kidogo, sinzia kidogo,

      Kunja mikono kidogo ili upumzike,+

      11 Na umaskini wako utakuja kama jambazi,

      Na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+

  • Methali 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Njia ya mvivu ni kama uzio wa miiba,+

      Lakini kijia cha wanyoofu ni kama barabara iliyosawazika.+

  • Methali 24:30, 31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nilipita karibu na shamba la mtu mvivu,+

      Karibu na shamba la mizabibu la mtu asiye na busara.*

      31 Niliona limejaa magugu;

      Ardhi ilifunikwa na miiba,

      Na ukuta wake wa mawe ulikuwa umebomoka.+

  • Methali 26:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mlango huzunguka-zunguka katika bawaba zake,*

      Na mvivu hugeuka-geuka kitandani mwake.+

      15 Mvivu huutumbukiza* mkono wake katika bakuli la karamu,

      Lakini amechoka sana kuurudisha kinywani mwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki