1 Wafalme 3:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo Waisraeli wote wakasikia kuhusu uamuzi uliofanywa na mfalme, nao wakamwogopa mfalme,+ kwa maana waliona kwamba alikuwa na hekima ya Mungu katika kutekeleza haki.+ Zaburi 72:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako,Na umzawadie mwana wa mfalme uadilifu wako.+ Zaburi 72:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na awalinde* watu wa hali ya chini miongoni mwa mataifa,Na awaokoe watoto* wa mtu maskini,Na amponde mpunjaji.+ Methali 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Matendo maovu huwachukiza wafalme,+Kwa maana kiti cha ufalme huimarishwa kabisa kwa uadilifu.+
28 Kwa hiyo Waisraeli wote wakasikia kuhusu uamuzi uliofanywa na mfalme, nao wakamwogopa mfalme,+ kwa maana waliona kwamba alikuwa na hekima ya Mungu katika kutekeleza haki.+
4 Na awalinde* watu wa hali ya chini miongoni mwa mataifa,Na awaokoe watoto* wa mtu maskini,Na amponde mpunjaji.+