Methali 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova huchukia njia ya mwovu,+Lakini humpenda mtu anayefuatia uadilifu.+ Methali 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Unyenyekevu na kumwogopa Yehova huletaUtajiri na utukufu na uzima.+ Mathayo 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na kiu+ ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.*+ Waroma 2:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+ 7 uzima wa milele kwa wale wanaotafuta utukufu na heshima na kutoharibika,+ kwa uvumilivu katika kazi iliyo njema;
6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+ 7 uzima wa milele kwa wale wanaotafuta utukufu na heshima na kutoharibika,+ kwa uvumilivu katika kazi iliyo njema;