Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yehova huchukia njia ya mwovu,+

      Lakini humpenda mtu anayefuatia uadilifu.+

  • Methali 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Unyenyekevu na kumwogopa Yehova huleta

      Utajiri na utukufu na uzima.+

  • Mathayo 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na kiu+ ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.*+

  • Waroma 2:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+ 7 uzima wa milele kwa wale wanaotafuta utukufu na heshima na kutoharibika,+ kwa uvumilivu katika kazi iliyo njema;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki