Mambo ya Walawi 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukashiriki dhambi yake. 1 Timotheo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wakaripie+ hadharani watu wanaozoea kutenda dhambi,+ ili liwe onyo kwa wengine.*