-
1 Wafalme 2:24, 25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Na sasa, kwa hakika kama Yehova anavyoishi, ambaye ameniimarisha kabisa+ na kuniketisha kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu na kunijengea nyumba* kama alivyoahidi,+ Adoniya atauawa+ leo.” 25 Mara moja Mfalme Sulemani akamtuma Benaya+ mwana wa Yehoyada, akatoka na kwenda kumpiga Adoniya, akafa.
-