Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mtu mwenye hekima anaweza kupanda katika* jiji la watu wenye nguvu

      Na kudhoofisha nguvu wanazotumaini.+

  • Methali 24:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mtu mwenye hekima ana nguvu,+

      Na kwa ujuzi mtu huzidisha nguvu zake.

  • Mhubiri 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana hekima ni ulinzi+ kama pesa zilivyo ulinzi,+ lakini hii ndiyo faida ya ujuzi: Hekima humhifadhi hai yule aliye nayo.+

  • Mhubiri 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hekima humfanya mtu mwenye hekima awe na nguvu zaidi kuliko wanaume kumi wenye nguvu walio jijini.+

  • Mhubiri 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, lakini mtenda dhambi mmoja tu anaweza kuharibu mambo mengi mazuri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki