-
2 Samweli 12:9-11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Kwa nini ulilidharau neno la Yehova, kwa kutenda lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga!+ Kisha ukamchukua mke wake awe mke wako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+ 10 Sasa upanga hautaondoka nyumbani mwako,+ kwa sababu ulinidharau kwa kumchukua mke wa Uria Mhiti awe mke wako.’ 11 Yehova anasema hivi: ‘Tazama, ninakuletea msiba kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ na mbele ya macho yako mwenyewe, nami nitawachukua wake zako na kumpa mwanamume mwingine,+ naye atalala na wake zako kweupe kabisa wakati wa mchana.*+
-