Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Yonathani akamsifu Daudi+ mbele ya Sauli baba yake. Akamwambia: “Mfalme, usimtendee dhambi mtumishi wako Daudi kwa sababu yeye hajakutendea dhambi na mambo aliyokufanyia yamekunufaisha.

  • 1 Samweli 25:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Abigaili alipomwona Daudi, alishuka haraka kutoka juu ya punda na kuanguka kifudifudi mbele ya Daudi, huku akiinama chini. 24 Kisha akaanguka miguuni pake na kusema: “Bwana wangu, acha nibebe lawama; niruhusu mimi kijakazi wako nizungumze nawe, na usikilize maneno ya kijakazi wako.

  • Esta 4:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 akamjibu hivi Esta: “Usidhani kwamba kwa kuwa unaishi katika makao ya mfalme unaweza kuokoka kati ya Wayahudi wengine wote. 14 Kwa maana ukikaa kimya wakati huu, Wayahudi watapata msaada na ukombozi kutoka chanzo kingine,+ lakini wewe na nyumba ya baba yako mtaangamia. Ni nani ajuaye ikiwa umepata cheo cha umalkia kwa ajili ya wakati kama huu?”+

  • Zaburi 145:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Watatangaza utukufu wa ufalme wako+

      Na kusema kuhusu nguvu zako,+

  • Methali 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, kwa maana atakuchukia.+

      Mkaripie mwenye hekima, naye atakupenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki