Zaburi 37:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kidogo alicho nacho mwadilifu ni boraKuliko wingi wa vitu walivyo navyo watu wengi waovu.+ Methali 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ni afadhali kuwa na vichache na kumwogopa Yehova+Kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na mahangaiko.*+ Methali 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Afadhali kuwa na kidogo pamoja na uadilifu+Kuliko kuwa na mapato mengi pasipo haki.+ Methali 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ni afadhali kipande kikavu cha mkate mahali penye amani*+Kuliko nyumba iliyojaa karamu* pamoja na ugomvi.+
16 Ni afadhali kuwa na vichache na kumwogopa Yehova+Kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na mahangaiko.*+
17 Ni afadhali kipande kikavu cha mkate mahali penye amani*+Kuliko nyumba iliyojaa karamu* pamoja na ugomvi.+