- 
	                        
            
            1 Samweli 13:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
12 Kwa hiyo nikajiambia, ‘Sasa Wafilisti watashuka kunishambulia Gilgali, nami sijatafuta kibali cha* Yehova.’ Kwa hiyo nikahisi kwamba nina wajibu wa kutoa dhabihu ya kuteketezwa.”
13 Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Umetenda kipumbavu. Hukutii amri ambayo Yehova Mungu wako alikupa.+ Kama ungetii, Yehova angeimarisha ufalme wako juu ya Waisraeli milele.
 
 -