Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115:4-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,

      Kazi ya mikono ya mwanadamu.+

       5 Zina kinywa, lakini haziwezi kuongea;+

      Zina macho, lakini haziwezi kuona;

       6 Zina masikio, lakini haziwezi kusikia;

      Zina pua, lakini haziwezi kunusa;

       7 Zina mikono, lakini haziwezi kugusa;

      Zina miguu, lakini haziwezi kutembea;+

      Hazitoi sauti yoyote kwa koo zake.+

       8 Watu wanaozitengeneza watakuwa kama sanamu hizo,+

      Na pia wote wanaozitumaini.+

  • Isaya 44:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Wale wote wanaotengeneza sanamu za kuchongwa hawana thamani yoyote,

      Na vitu wanavyovipenda sana havitakuwa na faida yoyote.+

      Vikiwa kama mashahidi wao, havioni* chochote wala havijui chochote,+

      Basi waliovitengeneza vitu hivyo wataaibishwa.+

  • 1 Wakorintho 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa kuhusu kula chakula kilichotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ ulimwenguni na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki