Isaya 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo. Isaya 49:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova anasema hivi: “Wakati wa kibali* nilikujibu,+Na katika siku ya wokovu nilikusaidia;+Niliendelea kukulinda ili nikutoe uwe agano kwa ajili ya watu,+Ili kuitengeneza upya nchi,Ili kuwafanya wamiliki urithi wao ulio ukiwa,+
7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.
8 Yehova anasema hivi: “Wakati wa kibali* nilikujibu,+Na katika siku ya wokovu nilikusaidia;+Niliendelea kukulinda ili nikutoe uwe agano kwa ajili ya watu,+Ili kuitengeneza upya nchi,Ili kuwafanya wamiliki urithi wao ulio ukiwa,+