Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 56:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Walinzi wake ni vipofu,+ hakuna hata mmoja ambaye ameona.+

      Wote ni mbwa walio bubu, wasioweza kubweka.+

      Wanahemahema na kulala chini; wanapenda kulala.

  • Yeremia 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana watu wangu ni wajinga;+

      Hawanitambui.

      Wao ni wana wapumbavu, wasio na uelewaji.

      Ni werevu* sana katika kutenda maovu,

      Lakini hawajui kutenda mema.

  • Ezekieli 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, unaishi katika nyumba ya uasi. Wana macho ya kuona, lakini hawaoni, na masikio ya kusikia, lakini hawasikii,+ kwa maana wao ni nyumba ya uasi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki