Ezekieli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa watu wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Wao na mababu zao wamenikosea mpaka leo hii.+ Ezekieli 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao, iwe watasikiliza au watakataa kusikiliza—kwa maana wao ni nyumba ya uasi+—watajua kwa hakika kwamba nabii alikuwa miongoni mwao.+
3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa watu wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Wao na mababu zao wamenikosea mpaka leo hii.+
5 Nao, iwe watasikiliza au watakataa kusikiliza—kwa maana wao ni nyumba ya uasi+—watajua kwa hakika kwamba nabii alikuwa miongoni mwao.+