Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nenda miongoni mwa watu wako waliohamishwa*+ uzungumze nao. Waambie, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anavyosema,’ iwe watasikiliza au watakataa kusikiliza.”+

  • Ezekieli 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ikiwa mtu atasikia sauti ya pembe lakini asitii onyo,+ nao upanga uje na kumuua,* damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe.+

  • Ezekieli 33:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na mtu huyo mwovu arudishe kitu kilichowekwa rehani+ na kulipa vitu alivyomnyang’anya mwingine,+ naye atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda kosa, hakika ataendelea kuishi.+ Hatakufa.

  • Ezekieli 33:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na yatakapotimia—kwa maana yatatimia—watalazimika kujua kwamba nabii alikuwa miongoni mwao.”+

  • Yohana 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kama singekuja na kuzungumza nao, hawangekuwa na dhambi.+ Lakini sasa hawana kisingizio kwa ajili ya dhambi yao.+

  • Matendo 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi ninawaita ili mshuhudie leo hii kwamba mimi sina hatia ya damu ya mtu yeyote,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki