11 Nenda miongoni mwa watu wako waliohamishwa*+ uzungumze nao. Waambie, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anavyosema,’ iwe watasikiliza au watakataa kusikiliza.”+
15 na mtu huyo mwovu arudishe kitu kilichowekwa rehani+ na kulipa vitu alivyomnyang’anya mwingine,+ naye atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda kosa, hakika ataendelea kuishi.+ Hatakufa.