Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 100:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+

      Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+

      Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+

  • Isaya 43:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mimi ni Yehova, Mtakatifu wenu,+ Muumba wa Israeli,+ Mfalme wenu.”+

  • Isaya 44:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Hivi ndivyo anavyosema Yehova,

      Muumba wako, Yule aliyekutokeza,+

      Ambaye amekusaidia tangu ulipokuwa tumboni:*

      ‘Usiogope, mtumishi wangu Yakobo,+

      Na wewe, Yeshuruni,*+ ambaye nimekuchagua.

  • Isaya 44:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kumbuka mambo haya, Ee Yakobo, na wewe, Ee Israeli,

      Kwa maana wewe ni mtumishi wangu.

      Nilikutokeza, nawe ni mtumishi wangu.+

      Ee Israeli, sitakusahau.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki