Zaburi 100:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+ Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+ Isaya 43:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mimi ni Yehova, Mtakatifu wenu,+ Muumba wa Israeli,+ Mfalme wenu.”+ Isaya 44:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hivi ndivyo anavyosema Yehova,Muumba wako, Yule aliyekutokeza,+Ambaye amekusaidia tangu ulipokuwa tumboni:* ‘Usiogope, mtumishi wangu Yakobo,+Na wewe, Yeshuruni,*+ ambaye nimekuchagua. Isaya 44:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Kumbuka mambo haya, Ee Yakobo, na wewe, Ee Israeli,Kwa maana wewe ni mtumishi wangu. Nilikutokeza, nawe ni mtumishi wangu.+ Ee Israeli, sitakusahau.+
3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+ Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+
2 Hivi ndivyo anavyosema Yehova,Muumba wako, Yule aliyekutokeza,+Ambaye amekusaidia tangu ulipokuwa tumboni:* ‘Usiogope, mtumishi wangu Yakobo,+Na wewe, Yeshuruni,*+ ambaye nimekuchagua.
21 “Kumbuka mambo haya, Ee Yakobo, na wewe, Ee Israeli,Kwa maana wewe ni mtumishi wangu. Nilikutokeza, nawe ni mtumishi wangu.+ Ee Israeli, sitakusahau.+