Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Naye akawa mfalme kule Yeshuruni,*+

      Viongozi wa watu walipokusanyika pamoja,+

      Pamoja na makabila yote ya Israeli.+

  • Zaburi 74:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini Mungu ni Mfalme wangu tangu zamani za kale,

      Yeye anayefanya matendo ya wokovu duniani.+

  • Isaya 33:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi wetu,+

      Yehova ni Mpaji-sheria wetu,+

      Yehova ni Mfalme wetu;+

      Yeye Ndiye atakayetuokoa.+

  • Ufunuo 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 wakisema: “Tunakushukuru wewe, Yehova* Mungu, Mweza-Yote, yule aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki