Isaya 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kutakuwa na barabara kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya watu wake waliobaki,+Kama ilivyokuwa kwa ajili ya Israeli siku aliyotoka nchini Misri. Isaya 40:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: “Fungueni* njia ya Yehova!+ Tengenezeni barabara kuu iliyonyooka+ inayopitia jangwani kwa ajili ya Mungu wetu.+
16 Na kutakuwa na barabara kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya watu wake waliobaki,+Kama ilivyokuwa kwa ajili ya Israeli siku aliyotoka nchini Misri.
3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: “Fungueni* njia ya Yehova!+ Tengenezeni barabara kuu iliyonyooka+ inayopitia jangwani kwa ajili ya Mungu wetu.+