Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Vitawi vyake vitakapokauka,

      Wanawake watakuja kuvivunja,

      Na kuvitumia kuwasha moto.

      Kwa maana watu hawa hawana uelewaji.+

      Ndiyo sababu Muumba wao hatawaonyesha rehema,

      Na Yule aliyewaumba hatawaonyesha kibali.+

  • Yeremia 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Hata korongo angani anajua majira yake;*

      Njiwa tetere na mbayuwayu na teleka* hawachelewi kurudi.*

      Lakini watu wangu hawaelewi hukumu ya Yehova.”’+

  • Hosea 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Watu wangu watanyamazishwa,* kwa sababu hawana ujuzi.

      Kwa sababu mmekataa ujuzi,+

      Nitawakataa pia msinitumikie mkiwa makuhani wangu;

      Na kwa sababu mmesahau sheria* ya Mungu wenu,+

      Mimi mwenyewe nitawasahau wana wenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki