Isaya 60:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wageni watazijenga kuta zako,Na wafalme wao watakuhudumia,+Kwa maana nilikupiga kwa hasira yangu,Lakini kwa kibali changu* nitakuonyesha rehema.+ Zekaria 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Siku hizo watu kumi kutoka katika lugha zote za mataifa+ watashika, naam, watashika kwa nguvu joho* la Myahudi,* wakisema: “Tunataka kwenda pamoja nanyi,+ kwa maana tumesikia kwamba Mungu yupo pamoja nanyi.”’”+
10 Wageni watazijenga kuta zako,Na wafalme wao watakuhudumia,+Kwa maana nilikupiga kwa hasira yangu,Lakini kwa kibali changu* nitakuonyesha rehema.+
23 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Siku hizo watu kumi kutoka katika lugha zote za mataifa+ watashika, naam, watashika kwa nguvu joho* la Myahudi,* wakisema: “Tunataka kwenda pamoja nanyi,+ kwa maana tumesikia kwamba Mungu yupo pamoja nanyi.”’”+