Isaya 40:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: “Fungueni* njia ya Yehova!+ Tengenezeni barabara kuu iliyonyooka+ inayopitia jangwani kwa ajili ya Mungu wetu.+ Isaya 48:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tokeni Babiloni!+ Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo! Litangazeni kwa vigelegele vya shangwe! Litangazeni!+ Lijulisheni mpaka kwenye miisho ya dunia.+ Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+
3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: “Fungueni* njia ya Yehova!+ Tengenezeni barabara kuu iliyonyooka+ inayopitia jangwani kwa ajili ya Mungu wetu.+
20 Tokeni Babiloni!+ Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo! Litangazeni kwa vigelegele vya shangwe! Litangazeni!+ Lijulisheni mpaka kwenye miisho ya dunia.+ Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+