Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 50:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Waiteni wapiga-mishale dhidi ya Babiloni,

      Wote wanaoupinda* upinde.+

      Pigeni kambi kumzunguka; msiache yeyote aponyoke.

      Mlipeni kulingana na matendo yake.+

      Mtendeeni kama alivyotenda,+

      Kwa maana ametenda kwa kiburi dhidi ya Yehova,

      Dhidi ya Mtakatifu wa Israeli.+

  • Danieli 5:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Lakini wewe Belshaza, mwanawe, hujaunyenyekeza moyo wako, ingawa ulijua hayo yote. 23 Badala yake, ulijikweza mwenyewe dhidi ya Bwana wa mbinguni,+ ukawaamuru wakuletee vyombo vya nyumba yake.+ Kisha wewe pamoja na wakuu wako, masuria wako, na wake zako wadogo mkavitumia kunywea divai na kuisifu miungu ya fedha na ya dhahabu, ya shaba, chuma, miti, na mawe, miungu ambayo haioni chochote na haisikii chochote na haijui chochote.+ Lakini hujamtukuza Mungu ambaye pumzi yako na njia zako zote zimo mikononi mwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki