Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115:4-7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,

      Kazi ya mikono ya mwanadamu.+

       5 Zina kinywa, lakini haziwezi kuongea;+

      Zina macho, lakini haziwezi kuona;

       6 Zina masikio, lakini haziwezi kusikia;

      Zina pua, lakini haziwezi kunusa;

       7 Zina mikono, lakini haziwezi kugusa;

      Zina miguu, lakini haziwezi kutembea;+

      Hazitoi sauti yoyote kwa koo zake.+

  • Isaya 46:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kuna wale wanaomwaga dhahabu kwa wingi kutoka kwenye mikoba yao;

      Wanapima fedha katika mizani.

      Wanamwajiri mfua chuma, naye huitengeneza kuwa mungu.+

      Kisha wanasujudu, naam, wanaiabudu.*+

       7 Wanaiinua na kujitwika mabegani;+

      Wanaibeba na kuiweka mahali pake, nayo husimama papo hapo.

      Haiondoki mahali pake.+

      Wanaipazia sauti, lakini haiwajibu;

      Haiwezi kumwokoa yeyote kutoka katika taabu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki