Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 56:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na wageni wanaojiunga nami Yehova ili kunihudumia,

      Kulipenda jina langu mimi Yehova+

      Na kuwa watumishi wangu,

      Wote wanaoishika Sabato na wasioitia unajisi

      Na wanaolishika kabisa agano langu,

       7 Nitawaleta pia kwenye mlima wangu mtakatifu+

      Na kuwafanya washangilie ndani ya nyumba yangu ya sala.

      Dhabihu zao nzima za kuteketezwa na matoleo yao yatakubaliwa kwenye madhabahu yangu.

      Kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya mataifa yote.”+

  • Isaya 60:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mataifa yataenda kwenye nuru yako+

      Na wafalme+ kwenye fahari yako inayong’aa.*+

  • Zekaria 8:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na mataifa mengi na mataifa yenye nguvu yatakuja Yerusalemu kumtafuta Yehova wa majeshi + na kumsihi Yehova awape kibali chake.’*

      23 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Siku hizo watu kumi kutoka katika lugha zote za mataifa+ watashika, naam, watashika kwa nguvu joho* la Myahudi,* wakisema: “Tunataka kwenda pamoja nanyi,+ kwa maana tumesikia kwamba Mungu yupo pamoja nanyi.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki