17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+
17 “Watu wa Israeli ni kondoo+ waliotawanyika. Simba wamewatawanya.+ Kwanza mfalme wa Ashuru aliwanyafua;+ kisha Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni akaguguna mifupa yao.+